Askofu Gwajima Amjibu Makonda kwa Ujumbe Huu wa picha


Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Katika picha akiongea na waandishi


Saa chache baada ya Askofu Gwajima kutakiwa kufika polisi na mkuu wa mkoa kwa kutoa taarifa juu ya madawa ya kulevya,Askofu Gwajima Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Amepost Ujumbe picha huu ambao wadadisi wa mambo wanadai kuwa ni kama jibu kwa Mhe Makonda.



Askofu Mkuu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »